Baadhi ya viongozi wa vyuo vya ualimu nchini wakibadilishana mawazo nje ya ukumbi.
Washiriki wa warsha kuhusu mfuko wa NSSF ambao ni viongozi wa vyuo vya ualimu nchini wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi .
Washiriki wa warsha ya NSSF kubadirishana mawazo.
Washiriki wakisililiza jambo kutoka kwa mmoja wa watoa mada za NSSF.
Na John Nditi, Morogoro.
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii ( NSSF), limewataka waajiri wa sekta mbalimbali nchini wanaodaiwa madeni ya makato kutoka kwa waajiriwa wao ambao ni wanchama wa mfuko huo kulipa madeni yao ndani ya mwezi mmoja kuanzia Septemba mwaka huu .
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF , Crescentius Magori, alisema hayo Augosti 29, Mmwaka huu mjini Morogoro wakati alipokuwaakizungumza na waandishi wa habari baaada ya kufungua warsha ya siku moja ya kutoa elimu kwa viongozi wakuu wa vyuo vya ualimu nchini juu ya namna mfuko huo unavyofanya kazi ya kutoa huduma zake kwa wanachama.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...