Baadhi ya viongozi wa vyuo vya ualimu nchini wakibadilishana mawazo nje ya ukumbi.
 Washiriki wa warsha kuhusu mfuko wa NSSF ambao ni viongozi wa vyuo vya ualimu nchini wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi .
  Washiriki wa warsha ya NSSF kubadirishana mawazo.
Washiriki wakisililiza jambo kutoka kwa mmoja wa watoa mada za NSSF.

Na John Nditi, Morogoro.
SHIRIKA  la Taifa la Hifadhi ya Jamii ( NSSF), limewataka  waajiri wa sekta mbalimbali  nchini wanaodaiwa madeni ya makato kutoka kwa  waajiriwa wao  ambao ni wanchama wa mfuko  huo kulipa madeni yao  ndani ya mwezi mmoja kuanzia Septemba mwaka huu .

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF , Crescentius Magori, alisema hayo Augosti 29, Mmwaka huu mjini Morogoro  wakati alipokuwaakizungumza na waandishi wa habari  baaada ya kufungua warsha ya siku moja ya  kutoa  elimu  kwa viongozi wakuu wa vyuo vya ualimu nchini juu ya namna mfuko huo unavyofanya kazi ya kutoa huduma  zake kwa wanachama.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...