Ndugu T'shombe Gilbert Abwao anasikitika sana kutangaza kifo cha Binti yake wa kwanza Marsella Gilbert Abwao, mkuu wa George na Chiku Abwao ,Dada wa Pauline, Pendo na Issac kilichotokea jana saa 9 mchana huko Shinyanga.
Kwa kweli tuna huzuni kubwa na hakuna maneno ya kuelezea ni jinsi gani tulivyo na huzuni ila ni mioyo yetu tu ndo yaweza kuelezea.
TWAMSHUKURU  MWENYEZI Mungu kwa yote kwanni HAWAZI KUKUPA  MSALABA USIOWEZA KUUBEBA.
Na kwa KWAKE BWANA  hakuna kilichoharibika.
Tunaomba aiweke ROHO YAKE mahali pema PEPONI.
AMINA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. poleni sana. mwenyezi mungu awape nguvu kwenye wakati huu mgumu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...