kikosi cha timu ya mchezo wa mpira wa pete ya Taswa Dar
mara baada ya mechi kuisha.
waandishi wahabari wa mkoa wa Arusha wakifurahia wakati
tamasha likiendelea.
Na Woinde
shizza,Arusha
TIMU ya soka ya chuo cha uandishi wa habari Arusha(AJTC) juzi walitwaa
ubingwa katika bonanza la 10 vyombo vya habari mkoani Arusha huku Timu
ya wanahabahari wa Dar es Salaam TASWA FC wakishindwa kutamba.
Katika Bonanza hilo, ambalo lilishirikisha jumla ya timu nane, TASWA FC) alishindwa kutamba na kushika nafasi ya nne, Hata hivyo timu ya wanahabari wasichana kutoka Dar es Salaam(TASWA Qeen) iliweza kutwaa ubingwa wa mpira wa pete.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Katika Bonanza hilo, ambalo lilishirikisha jumla ya timu nane, TASWA FC) alishindwa kutamba na kushika nafasi ya nne, Hata hivyo timu ya wanahabari wasichana kutoka Dar es Salaam(TASWA Qeen) iliweza kutwaa ubingwa wa mpira wa pete.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...