Mwenyekiti wa Chama cha Walimu mkoa wa Arusha
,Mwalimu Jovin Kuyenga akizungumza na waandishi wa habari jana Ofisini kwake juu ya deni la shilingi bilioni 4 wanalodai kwa serikali, kushoto ni Katibu wa
Chama cha Walimu mkoa wa Arusha, Mwalimu Hassan Saidi.
Na Woinde
Shizza,Arusha
CHAMA cha Walimu mkoa
wa Arusha CWT wamelalamikia serikali na kuitaka kutekeleza kwa wakati madeni yao la zaidi ya billioni 4 kwani yamekuwa kikwazo katika ufanisi wa kazi hali ambayo inapelekea walimu wengi kushindwa kuendelea kufanya kazi kwa moyo na kujituma jambo ambalo
linaweza kushusha kiwango cha elimu nchini.
Akizungumza na Waandishi wa habari, Mwenyekiti wa chama cha walimu mkoa waArusha Mwalimu Juvin Kuyenga amesema, kumekuwa na chanagamoto kubwa ambazo zinakwamisha ufanisi wa kazi kwa walimu kwani wanazidai halmashauri zilizopo mkoani zarusha zaidi ya billioni nne ,amabapo katika jiji la arusha wanadai millioni 987,689,00,Arumeru billioni
2,996,607,848.21,Karatu millioni 423,983,820,Longido millioni 171,112,680,
Ngorongoro million 169,000,000, na Monduli 135,832,000.
Kusoma zaidi bofya HAPA.
Akizungumza na Waandishi wa habari, Mwenyekiti wa chama cha walimu mkoa waArusha Mwalimu Juvin Kuyenga amesema, kumekuwa na chanagamoto kubwa ambazo zinakwamisha ufanisi wa kazi kwa walimu kwani wanazidai halmashauri zilizopo mkoani zarusha zaidi ya billioni nne ,amabapo katika jiji la arusha wanadai millioni 987,689,00,Arumeru billioni
2,996,607,848.21,Karatu millioni 423,983,820,Longido millioni 171,112,680,
Ngorongoro million 169,000,000, na Monduli 135,832,000.
Kusoma zaidi bofya HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...