Afisa Mtoa Leseni Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) Christopher Sabuni akiongea na wanafunzi wa shule ya msingi Tulieni iliyopo kata ya Mnazi Mmoja leo katika Uwanja wa Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane Ngongo yanayoendelea mkoani Lindi.
Afisa Habari kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Ally Changwila akiongea na baadhi ya wageni waliotembelea banda la mamlaka hiyo wakati wa Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane yanayofanyika kitaifa katika uwanja wa Ngongo mkoani Lindi.
Afisa Mwongoza Mdege Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Tuju Shalali akiwaonesha watoto waliotembelea banda mamlaka hiyo namna ndege vinavyorushwa angani kwa kutumia mfumo wa kompyuta wakati wa Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane yanayofanyika kitaifa katika uwanja wa Ngongo mkoani Lindi.
Afisa Mwongoza Mdege Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Tuju Shalali akiongea na baadhi ya wananchi waliofika kwenye banda la Wizara ya Uchukuzi wakati Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane yanayofanyika kitaifa katika uwanja wa Ngongo mkoani Lindi.
Afisa Habari kutoka Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Ally Changwila akiongea na baadhi ya wageni waliotembelea banda la mamlaka hiyo wakati wa Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane yanayofanyika kitaifa katika uwanja wa Ngongo mkoani Lindi. (Picha na Eleuteri Mangi- MAELEZO, Lindi)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...