Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mhe Benjamin William Mkapa wakimnadi mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM Dkt John Pombe Magufuli wakati wa mkutano wa hadhara uliovutia umati uliovunja rekodi kwa wingi katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es alaam Jumapili
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwa na Rais Kikwete na Rais Shein pamoja na Marais wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa
 Waziri Mkuu Mstaafu Jaji joseph Sinde Warioba akimnadi mgombea wa CCM Dkt John Pombe Magufuli
 Rais Mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi akiozungumza Jangwani 
Rais Mstaafu Mhe Benjamin William Mkapa akiunguruma Jangwani
 Makamu Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein
Makongoro Nyerere akipiga saluti baada ya kusalimia umati huo
Kwa Picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. CCM hii inaashiria kuungwa mkono na wengi, ni kuwatakia ushindi ili muendelee kutumikia wananchi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...