Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akizungumza na
Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Ibrahim
Al-Najem kuhusu masuala mbalimbali ya
ushirikiano kati ya Kuwait na Tanzania.
Mazungumzo hayo yalifanyika katika ofisi ya Waziri Chikawe, jijini Dar es
Salaam leo.
Balozi wa Kuwait
nchini, Jasem Ibrahim Al-Najem (kulia) akizungumza
na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe kuhusu masuala mbalimbali
ya ushirikiano kati ya Kuwait na
Tanzania. Mazungumzo hayo yalifanyika katika ofisi ya Waziri Chikawe, jijini
Dar es Salaam leo. Picha zote na Felix Mwagara,
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...