Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue alipotembelea
Banda la NCC katika mkutano wa 13 wa bodi ya Wahandisi Tanzania
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue ( wa kwanza
kulia) akipata maelezo ya baadhi ya machapisho ya kitaalamu ya sekta ya
Ujenzi yanayotolewa na Baraza la Taifa la Ujenzi kutoka kwa Mhandisi
Julius Mwita.
Wafanyakazi wa Baraza la Taifa la Ujenzi wakitoa maelezo
ya shughuli za Baraza kwa Wahandisi waliotembelea katika banda la
(NCC). Wa kwaza kulia ni Afisa Habari Mwandamizi Robertha Makinda,
Ainenyi Clement na Mhandisi Mwita Julius.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...