Katibu wa chama hicho wilayani Lushoto, ndugu Mahanyu, akizungumza wakati wa kuzindua kampeni za chama hicho katika viwanja vya Lwandai Mlalo wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga, akiwa na Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha  Mapinduzi,CCM jimbo la Mlalo, Rashid Shangazi  wishoni mwa wiki.
 Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha  Mapinduzi,CCM jimbo la Mlalo, Rashid Shangazi akisaini kitabu cha wageni alipowasili katika viwanja vya Lwandai Mlalo, kulia ni Mgombea wa udiwani  wa kata ya Kwamshasha jimboni Mlalo, Anwari Kiwe.
Wazee wa jimbo la Mlalo wakibadilishana mawazo baada ya kuwasili katika viwanja vya Lwandai Mlalo  kabla ya mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha  Mapinduzi,CCM jimbo la Mlalo, Rashid Shangazi kufungua mkutano wa kampeni katika jimbo hilo wilayani Lushoto mkoani Tanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...