Afisa Mtendaji  Mkuu wa kinywaji cha Trevo, Mark Stevens akizungumza na Waandishi wa Habari(hawapo pichani) juu umuhimu wa kinywaji na  kinywaji cha Trevo ambacho kipo nchini kwa takribani miezi tisa, na kinavyoweza kuwasaidia afya za binadamu endapo kuna mapungufu katika mwili  hasa kuimarisha afya zao.

Pia aliongezea kuwa Kinywaji cha Trevo ni kinywaji kilichotengenezwa kwa ubora wa hali ya juu kinaachuhusisha  vyakula mbalimbali nyenye kiwango kikubwa vya virutubisho na kutoka mataifa mbalimbali duniani aidha alisema kuwa bidhaa hiyo imethibitishwa na mamlaka ya Chakula na Dawa TFDA pamoja na Shirika la Viwango nchini (TBS).
Mkurugenzi wa Trevo Tawi la Tanzania, Michael Ajao akisisitiza jambo kuwa , Kinywaji hicho kinasambazwa nchini kwa njia biashara ya Mtandao ambapo hadi sasa ni zaidi ya wanachama elfu tatu wamejiunga hapa nchini. aliyasema hayo katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika hoteli ya Saerena jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...