Field Marshall Mwigulu Nchemba akilakiwa kwa nderemo mjini Nzega |
Home
Unlabelled
CCM YARUSHA JESHI LA ANGA, MWIGULU AONGOZA KIKOSI...WAIMARISHA USHINDI WA KISHINDO MAJIMBO YA NZEGA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Field Marshall Mwigulu Nchemba akilakiwa kwa nderemo mjini Nzega |
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mwegulu Nchemba!
ReplyDeleteNimekuaminia wewe ni AIR MARSHALL. Umeshaongoza mapambano na utuongoze zaidi na zaidi. Hakuna asyekubali. I salute you and behind you weare coming. CCm Oyeeeee!!
Tutumie majina na vyeo vya watu vizuri,...
ReplyDeleteMwandishi sidhani kama unaelewa vema maana ya "Field Marshal"..
Licha ya kuwa umekosea herufi zake.
Inajionyesha dhahiri kabisa, takriban 99.5% wapo tayari kabisa kwa style ya 'ku-MAGUFULI-ka' kwa nia na moyo mmoja, bila kushawishiwa na mtu yeyote, zaidi ya kuridhishwa, kufurahishwa, kupendezwa na kukubalika kwa sera za wazi kabisa zinazoendelea kunadiwa katika kampeni mbali mbali kuelekea uchaguzi mkuu siku chache zijazo. Mola tujaaliye uchaguzi wa salama na amani In Sha Allah. Ameen.
ReplyDelete