Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Wanachama wa CCM na Wananchi wa Jimbo la Micheweni Wilaya ya Micheweni Mkoa wa kaskazini Pemba katika Mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mkuu pamoja na kuwaombea kura Mgombea Urais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania na Mgombea Mwenza,pia wakiwemo wagombea Ubunge,Uwakilishi na Udiwan

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akiwatambulisha wagombea Udiwani CCM Majimbo ya Uchaguzi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo wakati wa  mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mkuu uliofanyika leo uwanja wa  Mpira Micheweni Wilaya ya Micheweni  Mkoa wa Kaskazini Pemba

 Wananchi na WanaCCM pamoja na Wapenzi wa Chama cha Mapinduzi waliofurika katika Uwanja wa Mpira Micheweni wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein wakati alipokuwa akimwaga sera za CCM katika  mkutano wa Hadhara wa  kampeni za Uchaguzi Mkuu uliofanyika leo uwanja wa  Mpira Micheweni Wilaya ya Micheweni  Mkoa wa Kaskazini Pemba

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akimtambulisha Mgombea Ubunge Jimbo la Wingwi  Khamis Shaame Hamadi katika mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mkuu uliofanyika leo uwanja wa  Mpira Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akimtambulisha Mgombea Ubunge Jimbo la Konde Ramadhan Omar Ahmed katika mkutano wa kampeni za Uchaguzi Mkuu uliofanyika leo uwanja wa  Mpira Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...