Katibu mkuu wizara ya maliasili na utalii Adelhelm Meru akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusiana na kumtambulisha Flaviana Matata kuwa balozi wa utalii jimbo la New York City
nchini Marekani. Kutoka kulia ni Flavianao Matata na kushoto Kaimu Mkurugenzi
mwendeshaji Bodi ya Utalii TTB Devota Mdachi.
Katibu mkuu wizara ya maliasili na utalii Adelhelm Meru akimkabidhi
cheti cha kumtambua kuwa balozi wa utalii jimbo la New York City
nchini Marekani Flaviana Matata katikati ni Kaimu Mkurugenzi
mwendeshaji Bodi ya Utalii TTB Devota Mdachi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...