Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi wa
Burundi hapa Nchini Bwana Issa Ntambuka ambaye
alifika ofisini kwa Waziri Mkuu leo jijini Dar es salaam kwa mazungumzo ya
kikazi.
Waziri mkuu Mizengo Pinda akimsikiliza kwa makini
Balozi wa Burundi hapa nchini Bwana Issa Ntambuka ambaye alifaka ofisini kwa
Waziri Mkuu leo Jijini Dar es salaam kwamazungumzo ya kikazi.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akutana na Balozi wa Qatar
hapa Nchini Bwana Abdullah Jassim Al Maadadi ambaye alifika ofisini kwa Waziri Mkuu leo
Jijini Dar es salaa kwa mazungumzo ya kikaza
Picha na Chris Mfinanga.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...