HABARI ZENYE LINK ZA YOUTUBE! 
Star TV: Waumini wa Dini Ya kiislam Waungana na waislam wote nchini kusherehekea ibada ya sikukuu ya Eid El Haj na kuombea Amani Uchaguzi mkuu. https://youtu.be/DNNY-2vzKjY

TBC: Mamlaka ya mawasiliano TCRA imewataka wamiliki wa Radio Na TV kutumia vyombo hivyo kuleta maendeleo ya Taifa na sio kufanya Uchochezi. https://youtu.be/3zkiqOOwXqI

Star TV: Serikali yaitaja Wizara ya Ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi kuwa chanzo cha migogoro ya ardhi kutokana na watendaji wake kushirikiana na matapeli. https://youtu.be/zz_W8emSZhU

TBC: Mgombea Uraisi UKAWA Mhe. Edward Lowassa awaahidi wananchi wa Lindi kupitia upya mikataba ya Gesi endapo atachaguliwa kuwa raisi. https://youtu.be/ufwCxHLO4So

Star TV: Timu Ya Arsenal The Gunners imeshinda rufaa yake dhidi ya kadi nyekundu aliyopewa mlinzi wa kati Gabriel Paulista katika mechi dhidi ya Chelsea. https://youtu.be/mZT-_cA4Rs8

Tbc: Wakazi wa Bongwa Wilayani Bagamoyo wameitaka serikali kushughulikia tatizo la maji katika kijiji hicho baada ya visima kushindwa kukidhi mahitaji;  https://youtu.be/10cJ_0jGGg4

STAR TV: Vyama vya siasa nchini vimetakiwa kukabiliana na changamoto zinazowakabili watoto ili kulinda haki zao za msingi; HTTPS://YOUTU.BE/ID1N1N7LJ-S 

Ch 10: TANESCO yaonya wananchi wanaofanya uhalifu katika miundombinu ya grid ya umeme wa taifa ambapo hadi sasa vipande 200 vya chuma katika grid ya umeme vimeibiwa; https://youtu.be/9WQTxyy1EWs

AZAM TV: Balaza la habari nchini MCT yawaonya wamiliki wa vyombo vya habari kutoingilia utendaji kazi za waandishi wa habari;  https://youtu.be/DkWNWQ9BQKI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...