Washiriki wa Jogging iliyoandaliwa na kituo cha mazoezi ya viungo cha Home Gym Mwenge jijini Dar es Salaam kilichopo chini ya Andrew Mangomango (kulia) kwa lengo la kuhamasisha umuhimu wa mazoezi kwa ajili ya afya ya mwili na akili ambapo kituo hicho kimetimiza miaka 17 tangu kuanzishwa, mbio hizo zilianzia Mlimani City na kuishia ufukwe wa Escape One. (Picha na Francis Dande) 
 Washiriki wakiwa katika Jogging.

 Washiriki wakiwa katika Jogging.
Wanachama wa kituo cha mazoezi ya viungo cha Home Gym Mwenge wakikata keki wakati wa kusherehekea mika 17 tangu kunzishwa kwa kituo hicho, hafla hiyo ilifanyika katika Ufukwe wa Escape One jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. UPUMBAVU MTUPU, HAMUONI WATOTO HAPO?? HII ILITAKIWA ISIWEKWE HEWANI

    ReplyDelete
  2. Wapeni heshima watoto jamani.

    ReplyDelete
  3. Wazazi wa kisasa hao. Wanajifikiria wao tu. Hawafikirii watoto. Amini usiamini, kesho watoto hao wataijaribu hiyo move wao kwa wao wakati hata miaka 5 hawajafikisha.

    ReplyDelete
  4. Tatizo kubwa la hiki kizazi kipya cha bongoland, ni kuiga mambo ya ulaya na marekani na kusahau mila na desturi zetu za Tanzania na za Ki-bantu. PDA (Public Display of Affection) ni kinyume cha mila na desturi za kwetu Tanzania, sasa siku si nyingine watoto wakianza kulana "denda" na watoto wenzao mbele ya hawa wazazi wataweza kuwakemea kweli?
    Dr Gangwe.Bitozi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...