Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu akisalimiana na Maofisa wa Polisi katika Kanda Maalumu ya Tarime na Rorya jana wakati alipokuwa katika ziara ya kikazi katika mkoa huo wa Kipolisi.Kushoto ni Kamanda wa Polis Kanda Maalumu Tarime na Rorya, Lazaro Mambosasa.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Hosteli ya Polisi Kanda Maalumu ya Tarime na Rorya jana wakati alipokuwa katika ziara ya kikazi katika mkoa huo wa Kipolisi.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu akizindua Hosteli ya Polisi katika mkoa wa Kipolis Kanda Maalumu ya Tarime na Rorya jana wakati alipokuwa katika ziara ya kikazi katika mkoa huo wa Kipolisi
(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)

Na Frank Geofray-Jeshi la Polisi, Tarime.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu amewataka Viongozi wa Vyama vya Siasa katika Wilaya za Tarime na Rorya kufanya Kampeni za Kistaarabu ili kufanikisha Uchaguzi Mkuu pamoja na kuimarisha Amani na Usalama Wilayani humo.

IGP Mangu aliyasema hayo wakati alipokuwa akizungumza na Wadau wa Polisi wakiwemo Viongozi mbalimbali, Vyama vya Siasa pamoja na Wagombea wa Viti vya Ubunge na Udiwani, wakati alipokuwa katika Ziara ya Kikazi katika Kanda Maaalum ya Polisi Tarime na Rorya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...