KATIBU wa CCM wa wilaya ya Mufindi Bw. Jimson Mhagama amesema
kuwa chama cha mapinduzi (CCM ) kitaendelea kuongoza kwa kuzingatia uadilifu, , amani,
upendo, utulivu na kuleta maendeleo kwa wananchi wake hivyo kuwataka wananchi
kuchagua cheni nyenye msimamo wa kuwa na diwani, mbunge na rais wa CCM ili
kuendelea kuwaletea maendeleo .
Bw. Mhagama aliitoa
kauli hiyo jana
alipokuwa akihutubia wananchi katika mkutano wa kampeni za
udiwani wa kata ya Bomani kwa kumnadi mgombea wa kata hiyo Bw. John
Chota ,kuwa wananchi waanze kumuunga mkono diwani, na mbunge
anayegombea wa CCM Bw. Cosato Chumi kumchagua kuwa mbunge wa jimbo la
Mafinga
Mjini pamoja na kuelekeza kura zote kwa
Mgombea wa Urais dkt. John Magufuli.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...