Naibu
Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya
Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo
Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo
juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema leo
alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia
vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya
NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.
Vifaa
mbalimbali vya Uchaguzi vilivyowasili na Kupokelewa katika ofisi ya
NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.
Naibu
Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya
Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimuonyesha Katibu
Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka moja ya vifaa
vilivyowasili kwa ajili ya kusaidia Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Jamani, baba wa watu anaitwa Florens na siyo Florence (jina la kike)
ReplyDelete