Meneja wa Mpango wa Uchangiaji wa Hiari kutoka Mfuko wa Pensheni
wa PSPF Bi. Mwanjaa Sembe (katikati) akimfafanulia jambo Mwenyekiti wa
Makampuni ya IPP Media, Reginald Mengi katika Kongamano la Wajasiriamali
Wanawake nchini kabla ya uzinduzi wa Kampuni ya Voice of Women Entrepreneures
Tanzania (VoWET) uliofanyika jijini Dar es Salaam leo (jana).wa kwanza kushoto
ni Meneja Msaidizi wa Mfuko huo Bi Matilda Nyallu.
Wafanyakazi wa Mfuko wa Mfuko wa
Pensheni wa PSPF wakiwa katika Banda la Mfuko huo wakati katika Kongamano la
Wajasiriamali Wanawake nchini kabla ya uzinduzi wa Kampuni ya Voice of Women
Entrepreneures Tanzania (VoWET) uliofanyika jijini Dar es Salaam leo (jana), wa
kwanza kulia ni Meneja wa Mpango wa
Uchangiaji wa Hiari kutoka Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bi. Mwanjaa Sembe.
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP
Media, Reginald Mengi akizindua Kampuni ya Voice of Women Entrepreneures
Tanzania (VoWET) katika Kongamano la Wanawake Wajasiriamali nchini
lililofanyika jijini Dar es Salaam, kushoto ni Rais wa VoWET nchini Bi. Mahida
Waziri.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...