Na Yusuph Kileo
Naanza Andiko hili kwa kutambua na kuhamasisha Tukio la kipekee katika anga ya usalama mitandao ambalo limekua liki azimishwa kila mwaka katika mwezi wa October ambapo mataifa yanaadhimisha siku ya uelewa wa maswala ya usalama mitandao duniani kote. 
Kwa mwaka jana katika kuukaribisha mwezi huu Nilipata kuandika katika andiko linalosomeka kwa "KUBOFYA HAPA" na baadae kutoa tathmini ya mwezi katika andiko linalosomeka kwa "KUBOFYA HAPA".
Kusoma zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...