Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akihutubia Mkutano wa hadhara wa Kampeni,
uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi ya Zamani ya Chato, Wilayani Chato,
Mkoani Geita leo Septemba 16, 2015.
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akimnaji Mgombea Ubunge wa Jimbo la
Chato, Dkt. Benedicto Lukanima, katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni,
uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi ya Zamani ya Chato, Wilayani Chato,
Mkoani Geita leo Septemba 16, 2015.
Mh. Tundu Lissu akiwasalimia wananchi wa Jimbo la Chato, Mkoani Geita leo Septemba 16, 2015.
Waziri
Mkuu wa zamani, Mh. Fredrick Sumaye, akihutubia Mkutano wa hadhara wa
Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Stendi ya Zamani ya Chato,
Wilayani Chato, Mkoani Geita leo Septemba 16, 2015.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...