Wananchi
wa Mji wa Singida wakiishangilia Chopa ya Mgombea Urais wa Tanzania wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa, wakati ikiwasili kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini Singida leo
Septemba 12, 2015.
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Waziri Mkuu mstaafu, Mh. Fredrick
Sumaye wakiwapungua wananchi wa mji wa Singida, mara baada ya kuwasili
kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini humo leo Septemba 12, 2015,
kulikofanyika Mkutano wa Kampeni za Mgombea huyo.
Mwanasheria
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Tundu Lissu
akimuonyesha Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, mfano wa funguo
wenye ujumbe, aliopewa na wananchi wa Singida, wakati wa Mkutano wa
Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini humo leo Septemba
12, 2015.
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akionyesha mfano wa funguo kwa umati wa
wananchi wa Singida, waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Peoples,
Mjini humo leo Septemba 12, 2015.
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akihutubia Mkutano wa Kampeni,
uliofanyika kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini Singida leo Septemba 12,
2015.
KUONA PICHA ZAIDI
Hapo kabla sikuwahi kufikiri kuwa wapinzani hasa CHADEMA wanaweza kuongea vitu ambavyo si vya kweli na ambavyo hawakuwa na uhakika navyo kama suala la Richmond. Nimeamini walipotosha wananchi na wananchi tukapotoka. Sasa sijui vilivyobaki ambavyo navyo waliviongea kama vina ukweli ndani yake au kama wanauhakika au navyo vitageuka kuwa kama Richmond. Kwa hili nashanga siasa. Kinachosemwa huwa kinaushahidi au ni siasa ambazo ni dynamic game.
ReplyDelete