Mgombe Urais wa CCM Dkt Magufuli akiwahutubia wananchi wa Muheza kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa CCM mapema leo mchana wilayani humo mkoani Tanga
 Mgombe Urais wa CCM Dkt Magufuli akisisitiza jambo kwa Wananchi wa Muheza waliojitokeza kwa wingi kumsikiliza kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa CCM mapema leo mchana wilayani humo mkoani Tanga
Wananchi wa Muheza na vitongoji vyake wakiwa wamejitokeza kwa wingi mapema leo mchana wakimsikiliza Mgombe Urais wa CCM Dkt Magufuli,alipokuwa akiwahutubia kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa CCM mapema leo mchana wilayani humo mkoani Tanga
 Mgombe Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimkabidhi Ilani ya chama cha CCM,Balozi Rajab Adadi ambaye anagombea Ubunge jimbo la Muheza,mbele ya maelfu ya watu waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa CCM mapema leo mchana wilayani humo mkoani Tanga
 Wananchi wakishangilia jambo 
 Mgombe Urais wa CCM Dkt Magufuli akitoka kwwenye uwanja wa CCM mjini Muheza mara baada ya kuwahutubi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa CCM mapema leo mchana wilayani humo mkoani Tanga.

PICHA NA MICHUZI JR-MUHEZA



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...