Mfanyabiashara  na mmliki wa makampuni ya excel Management, Mikono Speakers na Focus Outdoor Deogratius Kilawe Jumamosi 12th Sept amefunga  pingu za maisha (ndoa )katika kanisa la st.Peter na kisha kufanya mapokezi serena Hotel. Deogratius Kilawe amefunga Pingu za maisha na Anabahati Mlay.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...