Meneja
Uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Lulu Mengele, (kushoto), na Afisa wa
Fedha Mwandamizi wa Mfuko huo, Angel Mukasa, (kulia), na Mfanyakazi mwingine wa
Mfuko huo, Omari Bundile, (wapili kushoto), wakigawa mafuta maalum yanayotumiwa
na watu wenye ulemavu wa ngozi, pamoja na sare za shule na viatu kwa wanafunzi
hawa wenye ulemavu wa ngozi wa shule ya msingi ya Jeshi la Wokovu, Kurasini
jijini Dar es Salaam leo Septemba 11, 2015. Katika kutekeleza sera ya mfuko ya
kusaidia jamii, PPF, imetoa vifaa mbalimbali ikiwemo, sare za snhule, viatu na
mafuta hayo maalum, Meneja Uhusiano wa Mfuko huo Lulu Mengele aliwaambia
waandishi wa habari. (Picha na K-VIS MEDIA/Khalfan Said)
Latifa
Musa,(kulia), akitoa shukrani kjwa niaba ya wenzake baada ya watoto wenye
ulemavu wa ngozi wa shule ya msingi ya Jeshi la Wokovu, Kurasini jijini Dar es
Salaam, kupatiwa msaada na Mfuko wa Pensheni wa PPF
Picha ya pamoja ya maafisa wa PPF, Walimu na wanafunzi wa shule ya msingi ya Jeshi la Wokovu.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...