Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii
Donani Mmbando akizungumza na waandishi
wa habari hawapo pichani juu ya Mfumo
uhifadhi na kutoa taarifa za zituo vya Afya kituo tangu kinapojengwa, atakikifunguliwa
na hata kinapofungwa, leo Jjijini Dar es salaam.
Wanahabari wa kimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu
wa Wizara ya Afya na Usitawi wa Jamii Donani Mmbando leo jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...