Mufti Mkuu wa Tanzania Shekh, Abu Bakari Zuberi
(kushoto) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya kutokea kwa tukio la ajali ya kuanguka kwa
mashine ya ujenzi na kuangukia Jengo la Msikiti wa Makka nchini Saudi Arabia na
kusababisha vifo vya watu mbalimbali.
( Picha na Emmanuel Massaka)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...