Mgombea
wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli(katikati) akiwanadi
Mbunge wa Handeni Mjini Dk. Abdallah Kigoda (kulia) na Mgombea wa Ubunge
Jimbo la Handeni Vijijini Ndugu Mboni Mhita kwenye mkutano wa kampeni
uliofanyika katika uwanja wa Kigoda mjini Handeni.
Wakati
kampeni za kuwania Urais,Ubunge na Udiwani zikidizi kushika kasi nchini,Mgombea
urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli,amesema
atasimamia utawala wa sheria kwa kuwawajibisha wale wote wanaopindisha sheria
kwa faida yao.
Magufuli aliyepewa jukumu la kuipeperusha bendera ya chama cha Mapinduzi,katika
ngazi ya urais,amesema utawala wake hautakuwa na simile na wanaopoka haki za
wanyonge,amesema kuwa ni jambo lisilokubalika kuona haki za wanyonge zikipokwa na matajiri
wachache na kuelezea kuwa atawashughulikia kwa mujibu sheria zilizopo.
Mgombea
wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akisoma bango la
vijana wafanya biashara ndogo ndogo wa eneo la Dumila maarufu kama Feri
wakati akielekea mkoani Tanga ikiwa muendelezo wa mikutano ya kampeni za
CCM .
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa wasili katika kijiji cha Muheza-Masagala akielekea wilayani Handeni kuwahutubia wananchi katika mkutano wa kampeni
Baadhi wananchi wa kijiji cha Vyadigwa wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli (hayupo pichani) alipowahutubia wakazi wa kijiji hicho wilayani Kilindi
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasili katika kijiji cha Muheza-Masagala akielekea wilayani Handeni kuwahutubia wananchi katika mkutano wa kampeni
Baadhi wananchi wa kijiji cha Vyadigwa wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli (hayupo pichani) alipowahutubia wakazi wa kijiji hicho wilayani Kilindi
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasili katika kijiji cha Muheza-Masagala akielekea wilayani Handeni kuwahutubia wananchi katika mkutano wa kampeni
Team Magufuli ya Handeni nayo ilikuwepo kuwahamasisha wananchi wampigie kura ya ushindi Dkt Magufuli,kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Kigoda.
Wakifuatilia mkutano wa kampeni ndani ya Mvomero .
Wananchi wa Handeni wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli kwenye mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Kigoda mjini Handeni.
Wananchi wa Handeni wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli kwenye mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Kigoda mjini Handeni.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Turiani mkoani Morogoro na kuwaambia atahakikisha migogoro ya ardhi inamalizika na kuileta jamii kuishi kwa amani na upendo.
PICHA NA MICHUZI JR-HANDENI
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
PICHA NA MICHUZI JR-HANDENI
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...