Mwalimu Hasani Gigoro akitoa mafunzo ya Dance kwa ajili ya mazoezi ya kupunguza kitambi na kupunguza unene  mazoezi hayo ambayohufanyika kila siku ya juma tatu kuazia saa kumi na mbili jioni, mpaka saa mbili usiku  kujiunga na mazoezi hayo ya dance kiingilio ni Tsh 5000/=  mazoeo hufanyika katika viwanja vya Mzalendo Pub Kijitonyama leo Jijini Dar es Salaam.


Mazoezi ya viungo ya kudensi yakiendelea kwa umakini wa hali ya juu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...