Mkuu
wa Wilaya ya Karatu, Mkoani Arusha Omary Kwaang’ (katikati mwenye kaunda suti) akiwa na baadhi ya watumishi
wa wilaya hiyo, akikagua lambo la maji eneo la Endesh, linalotumiwa na
mifugo na binadamu, lililogharimu sh169 milioni kwa ufadhili wa shirika la
World Vision.
Mkuu
wa Wilaya ya Karatu, Mkoani Arusha Omary Kwaang’ (kushoto) akiwa na baadhi ya watumishi
wa wilaya hiyo, akikagua lambo la maji eneo la Endesh, linalotumiwa na
mifugo na binadamu, lililogharimu sh169 milioni kwa ufadhili wa shirika la
World Vision.
WANANCHI
12,082 wa Kata ya Baray Wilayani Karatu Mkoani Arusha wamekabidhiwa miradi nane
ya elimu na afya ambayo imegharimu sh447.8 milioni kwa ufadhili wa shirika
lisilo la kiserikali la World Vision Korea.
Mratibu
wa mradi wa World vision Karatu John Massenza akikabidhi jana miradi hiyo kwa
mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo John Mabula alisema itawanufaika wakazi wa vijiji vitatu vya
Dumbachang, Mbuga Nyekundu na Jobaj.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...