

Baadhi ya washiriki wakisikiliza kwa makini mada Mbalimbali zinazojadiliwa kwenye semina hiyo.
Mafunzo ya Ujasiriamali Phase II ya Wanawake kupitia Vipodozi vya LuvTouch Manjano yameingia siku ya tatu leo ambapo Mkufunzi wa Maswala ya Biashara Ndugu Felix Maganjila ametoa mada kuhusu namna ya kutafuta wateja na njia mbalimbali za kuuza bidhaa.Washiriki walipata nafasi ya kwenda kutafuta masoko (Marketing Research) maeneo tofauti ya Jiji la Dar es salaam pamoja na kuangalia changamoto kubwa za namna ya kuuza bidhaa zao kwa wateja wa Luvtouch na namna bora ya kuwashawishi wakazi wengine kutumia kipodozi pendwa cha LuvTouch Manjano.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...