Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt
Magufuli akiwasalimia maelfu ya Wananchi waliofika katika uwanja wa
Barafu mjini Igunga,Dkt Magufuli aliwahutubia wananchi hao.
Mgombea
Urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Magufuli akisisitiza mbele ya maelfu ya
Wakazi wa mji wa Igunga jioni ya leo kwenye mkutano wa hadhara kuwa
Serikali ya awamu ya tano itajenga viwanda mbalimbali vikiwamo viwanda
vya nguo ikiwa ni mkakati wa kuinua zao la pamba ambalo linalimwa kwa
wingi mikoa ya kanda ziwa,amesema kuwa Serikali yake imedhamiria kuleta
mabadiliko bora na si bora mabadiliko na kuongeza kazi kubwa
atakayofanya ni kusimamia vema rasilimali za nchi kwa maslahi ya
Watanzania wote.

Dkt
Magufuli kwa nyakati tofauti kwenye mikutano ya hadhara akiwa katika
wilaya ya Maswa na kisha jimbo la Kishapu na Igunga, Dk.Magufuli amesema
kuwa anatambua umuhimu wa kuwa na viwanda nchini na hivyo serikali yake
itasimamia ujenzi wa viwanda kwa lengo la kuimarisha uchumi na wakati
huo huo kusaidia wakulima na wafugaji kunufaika na shughuli wanaofanya
nchini.
Dk
Magufuli akizungumza na wananchi wakati akijinadi mjini Malampaka,
Maswa, ambapo alisema akishinda urais ataanzisha viwanda vingi ili
kuongeza thamani ya mazao nchini.
Dk
Magufuli akihutubia wananchi katika Mji wa Maganzo mkoani Shinyanga,
ambapo aliomba kumpigia kura ali ashinde awasaidie kuboresha sekta ya
uchimbaji madini kwa serikali kuwakopesha wachimbaji wadogo wadogo kwa
kuwapatia mitaji na vifaa.
It is the time for Tanzanians to elect their leaders no one from outside should try and meddle in anyway on the electioneering process because this amounts to usurping the role of the electrolate.
ReplyDeleteNyerere did speak out against foreigners who wanted to meddle in Tanzanian politics and asked why, how will they be paid? this question still remains for those who will not keep off. Foreigners can observe the process when time comes, but not seek to facilitate any candidate by engaging them or financially supporting them. If a foreigner for example is planning to do this by funding motor riders he is trying to influence an election contrary to the wishes of the citizenry and the public good of Tanzanians. It is curious when in his own country he has motor cycles that he is not supporting in the same way. General caution: Interfering in the election process of another country is interfering in the internal affairs of the country it is wrong.