Familia ya Bwana na Bibi Charles Yanga ya Tabata Chang'ombe, Dar es salaam, inakukaribisha kwenye Misa ya shukrani kwa ajili ya marehemu mtoto wao mpendwa Abel Charles Yanga. Misa itakuwa Jumamosi tarehe 12 Sep. 2015 saa  5.00 asubuhi nyumbani Tabata Chang'ombe. Baada ya Misa tutashirikiana chakula cha mchana. Karibuni sana. 
Kwa mawasiliano zaidi  Kiduma Yanga 0653 013 211 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. You slipped out of this life like water through the fingers. We thank God for what you left with us, you will be forever missed kaka Abel. - Imma

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...