Sheikh Abdu Kadri akiongoza swala ya Idd El Haji katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke Dar es Salaam leo asubuhi. Waislam wa Tanzania leo waliungana na wenzao duniani kote kusherehekea Sikukuu ya Idd El Haji.
Sheikh Nurudin Kishki alitohotuba baada ya swala hiyo.
Sheikh Othman Dishi akitoa maelekezo kabla ya kuanza kwa swala hiyo.
Wanawake na watoto wakiwa kwenye swala hiyo.
Mazuria ya kuswalia yakitandikwa kabla ya kuanza ibada.
Hapa wakitawaza kabla ya kuinza kwa swala hiyo.
Abdurahi Suleiman (kulia), akiuza mafuta na manukato mbalimbali katika viwanja hivyo.
Ibada ya swala ya Idd El Haji ikiendelea.
Biashara ya Balaghashia ikiendelea katika viwanja vyao.
Swala ikiendelea katika viwanja hivyo.
Pikipiki na baiskeli zikiwa zimewekwa kwa pamoja kwa ajili ya usalama.
Mwanahabari akichukua picha katika ibada hiyo.
Waumini wa kiislam wakiwa katika viwanja hivyo wakati wa ibada hiyo.
Hapa salamu zikiendelea.
Sheikh Othmani Dishi (kushoto), akisalimiana na Sheikh Abdu Kadri kabla ya kuanza kwa swala hiyo.
Swala ikifanyika katika viwanja hivyo.
Swala ikifanyika kwa unyenyekevu mkubwa.
Swala ikiendelea.
(Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...