Wanunuzi wa madini wakikagua madini ya vito kutoka kwa
mfanyabiashara wa madini wa Tanzania katika banda la Tanzania kwenye maonesho
kimataifa ya 56 ya Madini ya vito na usonara yanayofanyika mjini Bankok,
Thailand.
Ofisa kutoka Wakala wa Ukaguzi wa Madini Nchini (TMAA), Bi.
Stella akimpatia maelezo mmoja kati ya wanunuzi wa madini ya vito waliofika
katika banda la Tanzania kutaka maelezo ya jinsi ya kuweza kununua madini hayo
ya vito yanayopatikana Tanzania.
Picha ya pamoja kati ya ujumbe kutoka Wizara ya Nishati na
Madini ya Tanzania na maofisa waandamizi wanaosimamia maonesho ya kimataifa ya
Madini ya vito mara baada ya ufunguzi rasmi kufanyika jijini Bangkok, Thailand.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...