Balozi wa China nchini Tanzania Dr. Lu Younq
ing akiongea na baadhi ya wasanii wa sanaa ya uchoraji wa Tingatinga katika hafla ya utoaji wa Tuzo
la Mashindano ya Kimataifa ya Uchoraji wa Tingatinga Tanzania
iliyofanyika leo (jana) jijini Dar es Salaam. Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China.
Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa
Serikali ya Tanzania na China.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,
Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea
katika hafla ya utoaji wa
Tuzo la Mashindano ya Kimataifa
ya Uchoraji wa Tingatinga Tanzania iliyofanyika leo (jana) jijini Dar es Salaam.Tuzo
hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China ambapo
washindi wawili wataelekea nchini China kwa ajili ya kubadilishana utamaduni
(Picha na Benjamin Sawe- WHVUM)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...