Mkurugenzi
wa Global Link Education (GEL) ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya
nchi, Abdulmaliki Mollel akitoa maelezo katika semina ya kuwajengea
uwezo wazazi na wanafunzi wanaokwenda kusoma Vyuo Vikuu vya China leo
katika ofisi zao zilizopo viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara
ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
Wanafunzi
wakilipia tisheti kwa ajili ya sare ya kutambuana wakati wa safari
ya kwenda katika vyuo vya China katika semina ya kuwajengea uwezo
wazazi na wanafunzi wanaokwenda kusoma Vyuo Vikuu vya China leo katika
ofisi zao zilizopo viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa
jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...