Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza(kulia)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kutangaza mfumo ulioshirikisha taasisi za T-MARC Tanzania,Pink Ribbon Red Ribbon na Vodacom Foundation ambayo imetoa kiasi cha Dola za Marekani 87,400 kwa ajili ya kuwawezesha wakina mama waishio vijijini wanaosumbuliwa na Kansa ya kizazi kuweza kusafiri kutoka maeneo wanayoishi hadi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa awali pamoja na matibabu ya ugonjwa huo katika hospitali ya Ocean Road(ORCI). Kushoto kwake ni Mkurugenzi mtendaji wa T-Mark Tanzania,Diana  Kisaka,Kaimu mkurugenzi mtendaji wa hospitali ya Ocean road, Beatrice Erasto na Meneja mradi wa T-Mark Tanzania,Doris Chalambo.
 Kaimu mkurugenzi mtendaji wa hospitali ya Ocean road, Beatrice Erasto akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa mkutano wa kutangaza mfumo ulioshirikisha taasisi za T-MARC Tanzania,Pink Ribbon Red Ribbon na Vodacom Foundation ambayo imetoa kiasi cha Dola za Marekani 87,400 kwa ajili ya kuwawezesha wakina mama waishio vijijini wanaosumbuliwa na Kansa ya kizazi kuweza kusafiri kutoka maeneo wanayoishi hadi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa awali pamoja na matibabu ya ugonjwa huo katika hospitali ya Ocean Road(ORCI).katikati ni Mkurugenzi mtendaji wa T-Mark Tanzania,Diana  Kisaka na Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza.
 Wakina mama wanaotibiwa ugonjwa wa kansa ya kizazi katika hospitali ya Ocean road wakifurahia jambo na Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza(kulia) baada ya kutangaza mfumo wa kusaidia matibabu kwa kina mama hao  ulioshirikisha taasisi za T-MARC Tanzania,Pink Ribbon Red Ribbon na Vodacom Foundation ambayo imetoa kiasi cha Dola za Marekani 87,400 kwa ajili ya kuwawezesha akina mama waishio vijijini wanaosumbuliwa na Kansa ya kizazi kuweza kusafiri kutoka maeneo wanayoishi hadi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa awali pamoja na matibabu ya ugonjwa huo katika hospitali ya Ocean Road(ORCI).
Baadhi ya wageni waalikwa na wakina mama wanaotibiwa ugonjwa wa kansa ya kizazi katika hospitali ya Ocean road, wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari uliohusu taasisi zisizo za kiserikali za T-MARC Tanzania,Pink Ribbon Red Ribbon na Vodacom Foundation  wakitangaza mfumo wa kusaidia matibabu kwa wakina mama hao  ulioshirikisha taasisi hizo   ambapo  Vodacom Foundation imetoa kiasi cha Dola za Marekani 87,400 kwa ajili ya kuwawezesha wakina mama waishio vijijini wanaosumbuliwa na Kansa ya kizazi kuweza kusafiri kutoka maeneo wanayoishi hadi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa awali pamoja na matibabu ya ugonjwa huo katika hospitali ya Ocean Road(ORCI).

.  Ni kutokana na kuanzishwa kwa huduma ya kuwasaidia
.  Kupitia Vodacom Foundation,T-Marc Tanzania na Pink ribbon red ribbon

Wanawake wanaougua maradhi ya Kansa ya kizazi nchini wamepunguziwa adha ya kusumbuka na gharama za matibabu zinazowakabili.Unafuu huo unatokana na ushirikiano wa taasisi tatu ambazo zimeamua kushirikiana kulivalia njuga tatizo hili ili kuleta unafuu kwa akina mama hususani wenye maisha duni na waishio vijijini.Taasisi hizo ni Vodacom Foundation ,T-MARC Tanzania na taasisi ya kimataifa ya Pink Ribbon Red Ribbon.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...