Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza(kulia)akifafanua jambo kwa
waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kutangaza mfumo
ulioshirikisha taasisi za T-MARC Tanzania,Pink Ribbon Red Ribbon na
Vodacom Foundation ambayo imetoa kiasi cha Dola za Marekani 87,400 kwa
ajili ya kuwawezesha wakina mama waishio vijijini wanaosumbuliwa na
Kansa ya kizazi kuweza kusafiri kutoka maeneo wanayoishi hadi jijini Dar
es Salaam kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa awali pamoja na matibabu
ya ugonjwa huo katika hospitali ya Ocean Road(ORCI). Kushoto kwake ni
Mkurugenzi mtendaji wa T-Mark Tanzania,Diana Kisaka,Kaimu mkurugenzi
mtendaji wa hospitali ya Ocean road, Beatrice Erasto na Meneja mradi wa
T-Mark Tanzania,Doris Chalambo.
Kaimu mkurugenzi mtendaji wa hospitali ya Ocean road, Beatrice Erasto
akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa mkutano wa
kutangaza mfumo ulioshirikisha taasisi za T-MARC Tanzania,Pink Ribbon
Red Ribbon na Vodacom Foundation ambayo imetoa kiasi cha Dola za
Marekani 87,400 kwa ajili ya kuwawezesha wakina mama waishio vijijini
wanaosumbuliwa na Kansa ya kizazi kuweza kusafiri kutoka maeneo
wanayoishi hadi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa
awali pamoja na matibabu ya ugonjwa huo katika hospitali ya Ocean
Road(ORCI).katikati ni Mkurugenzi mtendaji wa T-Mark Tanzania,Diana
Kisaka na Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza.
Wakina mama wanaotibiwa ugonjwa wa kansa ya kizazi katika hospitali ya
Ocean road wakifurahia jambo na Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus
Rwehikiza(kulia) baada ya kutangaza mfumo wa kusaidia matibabu kwa kina
mama hao ulioshirikisha taasisi za T-MARC Tanzania,Pink Ribbon Red
Ribbon na Vodacom Foundation ambayo imetoa kiasi cha Dola za Marekani
87,400 kwa ajili ya kuwawezesha akina mama waishio vijijini
wanaosumbuliwa na Kansa ya kizazi kuweza kusafiri kutoka maeneo
wanayoishi hadi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa
awali pamoja na matibabu ya ugonjwa huo katika hospitali ya Ocean
Road(ORCI).
Baadhi ya wageni waalikwa na wakina mama wanaotibiwa ugonjwa wa kansa ya kizazi katika hospitali ya Ocean road, wakiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari uliohusu taasisi zisizo za kiserikali za T-MARC Tanzania,Pink Ribbon Red Ribbon na Vodacom Foundation wakitangaza mfumo wa kusaidia matibabu kwa wakina mama hao ulioshirikisha taasisi hizo ambapo Vodacom Foundation imetoa kiasi cha Dola za Marekani 87,400 kwa ajili ya kuwawezesha wakina mama waishio vijijini wanaosumbuliwa na Kansa ya kizazi kuweza kusafiri kutoka maeneo wanayoishi hadi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa awali pamoja na matibabu ya ugonjwa huo katika hospitali ya Ocean Road(ORCI).
. Ni kutokana na kuanzishwa kwa huduma ya kuwasaidia
. Kupitia Vodacom Foundation,T-Marc Tanzania na Pink ribbon red ribbon
Wanawake wanaougua maradhi ya Kansa ya kizazi nchini wamepunguziwa adha ya kusumbuka na gharama za matibabu zinazowakabili.Unafuu huo unatokana na ushirikiano wa taasisi tatu ambazo zimeamua kushirikiana kulivalia njuga tatizo hili ili kuleta unafuu kwa akina mama hususani wenye maisha duni na waishio vijijini.Taasisi hizo ni Vodacom Foundation ,T-MARC Tanzania na taasisi ya kimataifa ya Pink Ribbon Red Ribbon.
. Kupitia Vodacom Foundation,T-Marc Tanzania na Pink ribbon red ribbon
Wanawake wanaougua maradhi ya Kansa ya kizazi nchini wamepunguziwa adha ya kusumbuka na gharama za matibabu zinazowakabili.Unafuu huo unatokana na ushirikiano wa taasisi tatu ambazo zimeamua kushirikiana kulivalia njuga tatizo hili ili kuleta unafuu kwa akina mama hususani wenye maisha duni na waishio vijijini.Taasisi hizo ni Vodacom Foundation ,T-MARC Tanzania na taasisi ya kimataifa ya Pink Ribbon Red Ribbon.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...