Kushoto ni Mwanafunzi wa shule ya Sekondari ya Bright Angel High School, Ajay Mohamed akiwa na mwanafunzi mwenzake katika shule hiyo.
 Kutoka kulia ni Mkuu wa shule ya Bright Angel High School, Angribeth Nkwera katikati ni Mgeni rasmi katika mahafali ya saba katika shule ya Bright Angel High School, Innocent Banzi na Bi.Yasinta Mwinuka wakiwa angalia wanafunzi wa shule hiyo wakati wakitumbuiza katika mahafali hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki mkoani Pwani. 
Mkuu wa shule ya Bright Angel High School, Angribeth Nkwera mwenye shati la bluu kushoto na Mgeni rasmi katika mahafali ya saba katika shule ya Bright Angel High School, Innocent Banzi  wakiwa katika picha ya pamoja na wahitimu wa shule hiyo mara baada ya mahafali ya saba yaliyofanyika  mkoani pwani mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...