Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akimnadi Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM, Dk. Magufuli ndani ya
uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati wa hitimisho la kampeni.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akiwa na Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM, Dk. Magufuli ndani ya
uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati wa hitimisho la kampeni.
Umati wa maelfu ya wananchi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kushudua kilelel cha hitimisho la kampeni za chama cha Mapinduzi CCM katika uwanja wa CCM kirumba.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongea machache mtambulisha ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati wa hitimisho la kampeni.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete akimnadi Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli wa pili kutoka kulia, Mgombea Mwenza Mama Samia Hassan Suluhu na wagombea ubunge wa majimbo ya Ilemela Anjela Mabula wa kwanza kushoto na Stanslaus Mabula Nyamagana wa tatu kutoka kushoto
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete akimnadi Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli wa pili kutoka kulia,na wagombea ubunge wa majimbo ya Ilemela Anjela Mabula wa kwanza kushoto na Stanslaus Mabula Nyamagana wa tatu kutoka kushoto.
Umati wa maelfu ya wananchi wa jiji la Mwanza wakifuatilia kufungwa kampeni za chama cha Mapinduzi CCM katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
PICHA NA MICHUZI JR-MWANZA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Umati wa maelfu ya wananchi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kushudua kilelel cha hitimisho la kampeni za chama cha Mapinduzi CCM katika uwanja wa CCM kirumba.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongea machache mtambulisha ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati wa hitimisho la kampeni.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete akimnadi Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli wa pili kutoka kulia, Mgombea Mwenza Mama Samia Hassan Suluhu na wagombea ubunge wa majimbo ya Ilemela Anjela Mabula wa kwanza kushoto na Stanslaus Mabula Nyamagana wa tatu kutoka kushoto
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete akimnadi Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli wa pili kutoka kulia,na wagombea ubunge wa majimbo ya Ilemela Anjela Mabula wa kwanza kushoto na Stanslaus Mabula Nyamagana wa tatu kutoka kushoto.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akiwanadi wagombea ubunge wa Mwanza.Kulia ni mgombea wa Ubunge wa jimbo
la Nyamagana Stanslaus Mabula na mgombea wa Ubunge wa jimbo la Ilemela
Anjela Mabula.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akiburudika na Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM, Dk. Magufuli pamoja
na wanakibajaji ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati wa
hitimisho la kampeni.
Umati wa maelfu ya wananchi wa jiji la Mwanza wakifuatilia kufungwa kampeni za chama cha Mapinduzi CCM katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
PICHA NA MICHUZI JR-MWANZA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...