WATANZANIA wametakiwa
kuendelea kudumisha amani hasa kipindi
cha uchaguzi kwani bado nchi yetu inasifika kwa amani dunia kote
kauli hiyo imetolewa na
mwanaharakati wa amani Mhonda Joseph wakati akizungumza na waandishi wa
habari jiji Dar es Salaam.
Mhonda amesema wananchi wahakikishe amani inakuwepo na hata
wageni wanaoishi hapa kutokana na
historia ya miaka ya nyuma ya hapa
nchini kuwa ya amani.
Aidha amewataka
watanzania wasikubali baadhi ya
watu wachache kuja kuchochea utovu wa
amani na wakumbuke amani ikipotea ni vigumu kuirudisha pindi itakapotoweka.
lakini pia Mhonda ameeleza kuwa hatua tuliyofikia ya kuwa na vyama vingi ni moja ya maendeleo ni mhimu kuhakikisha tunachagua kiongozi bora atakao watumikia watanzania wote kutokana na
hali ya ugumu wa maisha kwa sasa.
hata hivyo amewataka mawakala kuhakikisha wanafanya kazi zao
bila kukubali kufanya vurugu pindi wanaposimamia wakati wa kuhesabu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...