Mgombea
Urais wa CCM, Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia Wananchi katika
mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya
Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwa sambamba na Katibu Mkuu wa CCM na Mwenyekiti wa kamati ya kampeni za chama hicho,Ndugu Abdulrahman Kinana wakiwasalimia wakazi wa jiji la Arusha na vitongoji vyake kabla ya kuanza kwa mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid,mkoani Arusha
Mgombea Ubunge wa jimbo la Simanjiro na Mjumbe wa kamati ya ushindi ya kampeni za CCM,Ndugu Ole Sendeka akiwahutubia maelfu a wananchi wa jiji la Arusha na vitongoji vyake,kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid,mkoani Arusha.
Katibu Mkuu wa CCM na Mwenyekiti wa kamati ya kampeni za chama hicho,Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia maelfu ya wananchi wa jiji la Arusha na vitongoji vyake,kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid,mkoani Arusha.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli akimnadi mgombea Ubunge jimbo la Monduli,Namelok Edward Moringe Sokoine kwenye mkutano wa kampeni ulofanyka mjini Monduli mapema leo mchana.
Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akimkabidhi kitabu cha Ilani ya CCM Mgombea Ubunge wa jimbo la Arusha mjini,Ndugu Phillemon Mollel mbele ya maelfu ya wakazi wa jiji la Arusha kwenye mkutano wa kampeni
Baadhi ya Wanachama wa Chadema wakirejesha kadi zao kwa Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo jijini Arusha
Umati
wa Wakazi wa jiji la Arusha na Vitongoji vyake wakifuatilia hotuba
zilizokuwa zikitolewa na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM wakati wa
Kampeni za Kumnadi Mgombea Urais wa Chama hicho Dkt John Pombe Magufuli
jijini humo.
Wananchi
wa Arusha waliofurika kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid
wakionesha kufurahia Sera za Chama cha Mapinduzi CCM wakati wa Kampeni
za Kumnadi Mgombea Urais wa Chama hicho Dkt John Pombe Magufuli.
Tunataka video ili tusikie na kuchambua sera. Ningependekeza katika kila campain stop: mfano, Haydom, mbulu, Arusha mjini etc. kuwe na picha kadhaa na video yake. Hiyo itasaidia sana kunadi sera za wagombea hata kwa walioshindwa kuhudhuria mikutano.
ReplyDeleteKweli hata Idd Amin alikuwa na mashabiki wake. Naona mmeamua kutoonyesha jinsi mkutano wa Monduli ulivyojaa watu. Safari hii mmenoa. Tafute kazi nyingine za kufanya baada ya Oct 25. Wananchi wamekwishaamua hivyo.
ReplyDeleteMbona wataisoma ?
ReplyDeletehapa ni kazi tuu, uwiii safiiiiiiiiii sana
ReplyDeleteCCM endelea kusongambele.
ReplyDelete