Meza kuu ikitambulishwa  katika mahafali ya 14 ya Kidato cha Nne ya Tanzania Adventist Secondary School iliyoko  Arusha,  Jumapili iliyopita.
  Mgeni rasmi Brigedia Jenerali George Mshamba akitoa nasaha katika mahafali ya 14 ya Kidato cha Nne ya Tanzania Adventist Secondary School iliyoko  Arusha,  Jumapili iliyopita.

 Wahitimu wa Kidato cha Nne wa Tanzania Adventist Secondary School iliyoko  Arusha  katika mahafali ya 14 ya shule hiyo yaliyofana sanja Jumapili iliyopita. Wa kwanza kushoto na wa tatu ni waalimu wao
Wahitimu wa Kidato cha Nne wa Tanzania Adventist Secondary School iliyoko Usa River, Arusha,  katika mahafali ya 14 ya shule hiyo yaliyofana sana Jumapili iliyopita. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...