Jijini Dar es Salaam wakati wa Kampeni ya kumnadi Mjumbe wa NEC –CCM Lindi Mjini ,Mama Salma Kikwete,akizungumza na wakazi wa Kata ya Makurumla Magomeni mgombea wa Ubunge Jimbo la Ubungo,Didas Masaburi na Diwani wa kata hiyo Rajabu Hassani
 
 Mjumbe wa NEC –CCM Lindi Mjini ,Mama Salma Kikwete,akizungumza na kuonesha Irani ya uchaguzi wakazi wa Kata ya Makurumla Magomeni Jijini Dar es Salaam wakati wa Kampeni ya kumnadi mgombea wa Ubunge Jimbo la Ubungo,Didas Masaburi na Diwani wa kata hiyo Rajabu Hassani
 
 Mjumbe wa NEC –CCM Lindi Mjini ,Mama Salma Kikwete,akiwanadi wagombea Ubunge Jimbo la Ubungo Didas Masaburi (kulia) na mgombea udiwani Kata ya Makurumla Magomeni Dar es Salaam
 

 Mama Salma Kikwete,akiendelea kuwanadi wagombea 
 Wakaazi wa Kata ya Makurumla Magomeni Jijini Dar es Salaam Jimbo la Ubungo wakimsikiliza Mjumbe wa NEC –CCM Lindi Mjini ,Mama Salma (hayupo pichani) akiwanadi wagombea Ubunge, Didas Masaburi na mgombea udiwani Kata ya hiyo Rajabu Hassan Picha na Yusuf Badi.






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...