Ni Magufuli atangazwa rais awamu ya 5.Pata habari motomoto za kisiasa katika magazeti ya leo Octoba 30.2015;  https://youtu.be/8ZvvzkBbuz4


Utulivu warejea kisiwani Zanzibar.Waangalizi walia na ZEC wataka matokeo yatangazwe.Haki za binadamu wataka kuisaidia ZEC; https://youtu.be/BI16XOK4tAg


Lowasa apinga urais wa Dr.Magufuli, viongozi wa dini wamshauri Lowasa na UKAWA. Ndivyo magazeti yanavyoandika siku ya leo;  https://youtu.be/WLjkpl61hHc


Dr.Magufuli atinga ikulu. Watanzania wampa zawadi ya urais siku yake yakuzaliwa.Pitia dondoo za magazeti;  https://youtu.be/ApwuMAGHEho


Pata habari kemukemu za kina zilizopewa kipaumbele na wahariri wa magazeti mbalimbali hapa nchini; HTTPS://YOUTU.BE/NSVTVP3C8YC

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. UKAWA MPOOOOOOOOO?

    ASSSALAAAAM ALEIKUMMMM???
    BWANA ASIFIWEEEE???
    Habari zenyu jamaniiiiiii !!!

    Dr.Magufuli ndio habari ya Dunia zaidi ya Mujini !!!

    TUMEFUNGA PAZIA LA KAMPENI ZA KISIASA, KILA MTU ACHUKUE JEMBE LAKE AKALIME, MVUVI ABEBE NYAVU ZAKE AKABUE SAMAKI,NA MFUGAJI AFUNGUE ZIZI LAKE AKACHUNGE NG'OMBE.

    TUKUTANE TENA 2020 KUNAKO UHAI

    WENU MTANZANIA MWENZENU,


    AMIIINAAA.


    WASSALAAAM.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...