Lengo la Mkutano huo ilikuwa ni kuwakutanisha Dream Makers Pamoja Mantor's Wao ,Uongozi Na Wafanyakazi wa Manjano Foundation na Mkufunzi wa Maswala ya Biashara kwa lengo la kutadhimini Maendeleo ya Mradi huo Tangu Ulipoanzishwa Pamoja na Changamoto Mbalimbali wanazokutana nazo wakati wa Kutekeleza Mradi Huo.

Picha ya Pamoja Washiriki wa Mafunzo ya Ujasiriamali yaliochini ya Taasisi ya Manjano foundation wakiwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions afrika Mama Shekha Nasser (Watatu kutoka kulia waliokaa),Mkufunzi wa Maswala ya Biashara Felix Maganjila (wa Pili kulia waliokaa), Meneja mradu huo Mama Franswaz Msinga (Wapili kutoka Kushoto waliokaa) Pamoja na washauri wakuu wa wanawake walionufaika ma Mradi Huo.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...