Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions africa Mama Shekha Nasser Akieleza Jambo wakati wa Mkutano wa Wadau wa Mradi wa Manjano Dream Makes akiwa Pamoja na Mkufunzi wa Maswala ya Biashara Ndugu Felix Maganjila.
Lengo la Mkutano huo ilikuwa ni kuwakutanisha Dream Makers Pamoja Mantor's Wao ,Uongozi Na Wafanyakazi wa Manjano Foundation na Mkufunzi wa Maswala ya Biashara kwa lengo la kutadhimini Maendeleo ya Mradi huo Tangu Ulipoanzishwa Pamoja na Changamoto Mbalimbali wanazokutana nazo wakati wa Kutekeleza Mradi Huo.
Picha ya Pamoja Washiriki wa Mafunzo ya Ujasiriamali yaliochini ya Taasisi ya Manjano foundation wakiwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions afrika Mama Shekha Nasser (Watatu kutoka kulia waliokaa),Mkufunzi wa Maswala ya Biashara Felix Maganjila (wa Pili kulia waliokaa), Meneja mradu huo Mama Franswaz Msinga (Wapili kutoka Kushoto waliokaa) Pamoja na washauri wakuu wa wanawake walionufaika ma Mradi Huo.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...