Muangalizi Mkuu wa Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya (EU EOM) kwa Tanzania, Judith Sargentini, atakuwa akiangalia uchaguzi, katika vituo vifuatavyo, pamoja na vinginevyo Jijini Dar es Salaam tarehe 25 Oktoba:
Muda
|
Jimbo
|
Kata
|
Kituo cha kupiga kura
|
Saa nne –Saa tano asubuhi
|
Ilala
|
Kisutu
|
Shule ya Msingi Kisutu A-1,2,3,4
Mtaa wa Kisutu
|
Saa tisa na robo – Saa kumi alasiri
|
Kawe
|
Msasani
|
Shule ya Msingi Oyster Bay, C-1,2,3
Barabara ya Haile Selassie
|
Kutakuwa na fursa za waandishi wa habari kufanya mahojiano na Muangalizi Mkuu kuhusu uangalizi wa awali wa EU EOM siku ya uchaguzi toka nchini kote.
EU EOM kwa Tanzania ndiyo ujumbe mkubwa kabisa wa kimataifa nchini na ambao upo kwa muda mrefu zaidi, kati ya 11 Septemba na 15 Novemba.
EU Chief Observer to visit polling stations in Dar es Salaam on Election Day
Schedule for media
The Chief Observer of the European Union Election Observation Mission (EU EOM) to Tanzania, Judith Sargentini, will be observing at, among others, the following polling stations in Dar es Salaam on 25 October:
Time
|
Constituency
|
Ward
|
Polling station
|
1000-1100
|
Ilala
|
Kisutu
|
Kisutu Primary School A-1,2,3,4
Kisutu Street
|
1515-1600
|
Kawe
|
Msasani
|
Oyster Bay Primary School, C-1,2,3
Haile Selassie Road
|
There will be opportunities for media to interview the Chief Observer on the EU EOM’s preliminary election day observations from around the country.
The EU EOM to Tanzania is the largest international observation mission in the country and is in Tanzania for the longest duration, between 11 September and 15 November.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...