Muangalizi Mkuu wa Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya (EU EOM) kwa Tanzania, Judith Sargentini, atakuwa akiangalia uchaguzi, katika vituo vifuatavyo, pamoja na vinginevyo Jijini Dar es Salaam tarehe 25 Oktoba:

Muda
Jimbo
Kata
Kituo cha kupiga kura
Saa nne –Saa tano asubuhi
Ilala
Kisutu
Shule ya Msingi Kisutu A-1,2,3,4
Mtaa wa Kisutu
Saa tisa na robo – Saa kumi alasiri
Kawe
Msasani
Shule ya Msingi Oyster Bay, C-1,2,3
Barabara ya Haile Selassie

Kutakuwa na fursa za waandishi wa habari kufanya mahojiano na Muangalizi Mkuu kuhusu uangalizi wa awali wa EU EOM siku ya uchaguzi toka nchini kote.
EU EOM kwa Tanzania ndiyo ujumbe mkubwa kabisa wa kimataifa nchini na ambao upo kwa muda mrefu zaidi, kati ya 11 Septemba na 15 Novemba.

EU Chief Observer to visit polling stations in Dar es Salaam on Election Day

Schedule for media

The Chief Observer of the European Union Election Observation Mission (EU EOM) to Tanzania, Judith Sargentini, will be observing at, among others, the following polling stations in Dar es Salaam on 25 October:

Time
Constituency
Ward
Polling station
1000-1100
Ilala
Kisutu
Kisutu Primary School A-1,2,3,4
Kisutu Street
1515-1600
Kawe
Msasani
Oyster Bay Primary School, C-1,2,3
Haile Selassie Road

There will be opportunities for media to interview the Chief Observer on the EU EOM’s preliminary election day observations from around the country.
The EU EOM to Tanzania is the largest international observation mission in the country and is in Tanzania for the longest duration, between 11 September and 15 November.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...