93.7 EFM inaendeleza burudani kupitia kampeni yake ya muziki mnene Bar kwa Bar. Jumamosi ilikuwa zamu ya wakazi wa Bunju  kuongea na muziki wa 93.7 EFM.
Burudani hiyo iliendeshwa na timu nzima ya EFM, iliyocheza mechi na  Carlfonia FC ya Boko na kuwafunga magoli mawili kwa moja katika uwanja wao wa nyumbani uliopo ndani ya shule ya msingi Boko. “Kwa bahati mbaya tumeshafungwa mechi tatu ila kuanzia mechi hii ni mwendo wakufunga magori ya kishujaa” alisema Dennis Ssebo mkuu wa idara ya mahusiano na mawasiliano.
Baada ya mechi hiyo shangwe ziliendelea ndani Rainer park Boko huku Rdjs wa 93.7 Efm wakitoa burudani ya aina yake iliyo acha historia  kwa wakazi wa Boko.
 Wachezaji wa 93.7 EFM na Carlfonia FC ya Boko wakisakata kabumbu katika uwanja wa shule ya msingi boko.
 Baadhi ya mshabiki waliojitokeza kushabikia mechi kati ya EFM na Carlfonia FC oko.
 Rdj X5 na Rdj timber wakifanya kazi yao kwa umakini.
Wakazi wa Bunju wakifurahia burudani ndani ya Rainer park Bunju.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...