Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Felipe Jacinto Nyusi wa Msumbiji wakigonga glasi ya kutakiana heri wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete na ujumbe wake katika ikulu ya nchi hiyo jijini Maputo maarufu kama Ponta Vermelha usiku wa kuamkia leo.Rais Kikwete alitumia fursa hiyo kuwaaga wananchi wa Msumbiji akisisitiza kuwa uhusiano wa kidugu na kipekee kati ya nchi hizo mbili utaendelea kudumu na kukua
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Felipe Jacinto Nyusi wakisimama wakati nyimbo za Taifa zikipigwa wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete na ujumbe wake katika ikulu ya nchi hiyo maarufu kama Ponta Vermelha usiku wa kuamkia leo.
Mstahiki Meya wa Jiji la Maputo Mh.David Simango akimvisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete vazi maalum na kumkabidhi Ufunguo wa jiji la Maputo kama ishara ya kumtunuku ukazi wa kudumu wa heshima wa jiji hilo wakati wa hafla iliyofanyika katika Jumba la Halmashauri ya jiji la Maputo
Mstahiki Meya wa Jiji la Maputo Mh.David Simango akijiandaa kumpa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Ufunguo wa jiji la Maputo kama ishara ya kumtunuku ukazi wa kudumu wa heshima wa jiji hilo wakati wa hafla iliyofanyika katika Jumba la Halmashauri ya jiji la Maputo.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Mstahiki Meya wa Jiji la Maputo Mh.David Simango akimvisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete vazi maalum na kumkabidhi Ufunguo wa jiji la Maputo kama ishara ya kumtunuku ukazi wa kudumu wa heshima wa jiji hilo wakati wa hafla iliyofanyika katika Jumba la Halmashauri ya jiji la Maputo
Mstahiki Meya wa Jiji la Maputo Mh.David Simango akijiandaa kumpa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Ufunguo wa jiji la Maputo kama ishara ya kumtunuku ukazi wa kudumu wa heshima wa jiji hilo wakati wa hafla iliyofanyika katika Jumba la Halmashauri ya jiji la Maputo.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Mh Rais Kikwete ni kiongozi mzuri na alikuwa na nia njema sana na nchi yetu tz ila mfumo CCM ulimkwamisha na kumzuia kuyafanya mema mengi aliyokuwa nayo. Nchi nyingi za nje zimenufaika na wingi wa hekima aliyonayo mh. Rais.
ReplyDeleteMh. Rais Mwenyezi Mungu na azidi kukubariki na kukuzidisha katika maisha yako. Uzidi kuwa hazina ya hekima kwa Africa yote.
mdau
Texas